Welcome Chato ZRH
profile

DR BRIAN C. MAWALLA
EXECUTIVE DIRECTOR

Welcome to Chato zonal refferal hospital, this hospital is located at Chato District near with the Lake Victoria. Our expectation is to provide the services that you deserve regardless of religion, ethnicity, income, race, gender, age or nation. On behalf of the entire Chato Zonal Referral Hospital team, I would like to welcome you to experience ou...Read more

Services And Facilities
  • Kufanya uchunguzi/ tathmini kwa wagonjwa wenye matatizo ya kijamii au kisaikolojia [ social and psycho-social problem) ili kujua jinsi ya kushughulikia
  • Kutoa ushauri kwa wagonjwa na/ au ndugu wa wagonjwa waliobainika kua na matatizo ya kijamii au kis...
readmore

Huduma kwa Wagonjwa wa Ndani

  • Kupitia taratibu za uchunguzi wa kitabibu utambuzi wa magonjwa hufanyika na kuhakikisha matibabu sahihi hutolewa kwa kila mgonjwa.
  • Mzunguko wa kuona wagonjwa Wodini: Hufanywa kila siku ikiwa ni pamoja na Mzunguko mkubw...
readmore

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato Hutoa huduma za Kibingwa katika nyanja zifuatazo:

  • Upasuaji wa Mifupa
  • Upasuaji Jumuishi
  • Magonjwa ya kina mama na Afya ya Uzazi
  • Magonjwa ya moyo
  • Endocrinolojia (Magonjwa ya kisukari)
  • Magonjwa ya kuambukiz...
readmore


Idara ya Wagonjwa wa dharula na ajali

Idara hii ni moja kati ya Idara zilizokamilika na kujitosheleza kihuduma 

Huduma tunazotoa:

Kitengo cha wagonjwa wa nje (OPD)

  1. Huduma ya kuonwa na daktari
  2. Uchunguzi wa kitabibu
  3. Huduma za...

readmore


Dakitari wa Meno akimfanyia uchunguzi wa kinywa na meno mteja

readmore
Recent News and Updates
image description
MADAKTARI BINGWA HOSPITALI YA KANDA YA RUFAA YA CHATO WAFANYA UPASUAJI KWA MTOTO ALIYEZALIWA BILA KU...
Posted on: February 19th, 2022

Hospitali ya Kanda ya Rufaa Chato, imeweza kufanya upasuaji kwa mtoto aliyezaliwa bila kuwa na sehemu ya kutolea haja kubwa. Upasuaji huu bobezi umefanywa na madaktari bingwa wa hospitali hii ya Kanda ya Rufaa ya Chato wakiwa wamefanik...Read more

image description
LISHE BORA KWA AFYA YA MAMA NA MTOTO...
Posted on: November 30th, 2020

Ikiwa unahisi changamoto kwa kufikiria juu ya lishe bora kwa mtoto wako, hauko peke yako. Hii ni hatua ya mkazo kwa wazazi wengi lakini wacha tuchukue hatua kwa hatua! Unaweza kuanza na hatua moja katika mwelekeo sahihi na ikiwa hiyo n...Read more

image description
KAMATI YA SIASA YA MKOA WA GEITA - HOSPITALI YA KANDA YA RUFAA CHATO...
Posted on: November 25th, 2020

Kamati ya siasa ya mkoa wa Geita imepongeza uamuzi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuamua kujenga Hospitali ya Rufaa ya Kanda iliyopo Chato na wameshauri jitihada mbalimbali za kuitangaza hospitali hiyo zifanyike ili wan...Read more

image description
TIBA YA KINYWA NA MENO...
Posted on: November 19th, 2020

Matatizo ya meno ni shida au magonjwa yanayohusiana na meno, karibia matatizo yote ya meno yanatokea baada ya bakteria na wadudu wengine kuwepo mdomoni, hii hufanya mtu kuwa na maumivu makali kwenye meno na mpaka kupelekea kutoa damu a...Read more

image description
HUDUMA YA ULTRASOUND...
Posted on: November 19th, 2020

Kipimo cha ultrasound kinamsaidia daktari kuona kama kuna tatizo katika ogani, mishipa na tishu bila kufanya upasuaji. Tofauti na tekinolojia nyingine, ultrasound haitumi mionzi, ndio maana ni njia inayopendekezwa kwaajili ya kuangalia...Read more

Patients Visiting Hours
VISITING HOURS

Including Public Holidays
Morning06:00 - 07:00
Noon12:30 - 14:00
Evening16:00 - 18:00
Latest Video
Clinics
Copyright ©2022 CHATOZRH . All rights reserved.